Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii aliyebakwa aogopa kumshtaki mbakaji

Ijumaa , 20th Oct , 2017

Mwanamuziki wa Afrika Kusini ambaye pia aliwahi kuwa Mbunge nchini humo, Jennifer Ferguson, amesema hataki kumshtaki mtu aliyembaka kwani hana imani na mfumo wa mahakama wa nchi hiyo.

Akifanya mahojiano na BBC Jennifer ambaye kwa sasa anaishi Sweden, amesema haamini kabisa na utendaji wa mahakama nchini Afrika Kusini, na kufungua kesi hiyo itakuwa ni sawa na kutonesha vidonda vibichi.

Jennifer ambaye aliweka wazi kuwa alibakwa na kuumizwa na mnamo mwaka 1993, na Danny Jordaan katika chumba cha hoteli kwenye mji wa Elizabeth, na mpaka sasa hajafanya uamuzi wa kumshtaki mtu huyo, ingawa aliamua kuzungumza juu ya tukio hilo kutekeleza kampeni ya kuvunja ukimya kwa wanawake wanaonyanyasika kijinsia.

Danny Jordaan ambaye ni Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu na pia Meya wa mji mmoja huko nchini Afrika Kusini, hajawahi kujibu chochote dhidi ya tuhuma hizo za kumbaka binti huyo.

Serikali ya Afrika Kusini imesema kwenye mwaka wa fedha uliopita takriban kesi 4,600 zilifunguliwa,huku watafiti wakisema idadi hiyo ni ndogo sana kwani kuna matukio mengi ya ubakaji ambayo hayaripotiwi.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali