Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii atembea kwa miguu kutoka mkoani

Ijumaa , 23rd Aug , 2019

Rapa wa nchini Kenya King Kaka, ametembea kwa miguu kutoka mji mkuu wa nchi hiyo Nairobi hadi mjini Nakuru akihamasisha kampeni ya kuchangia taulo za kike.

Rapa wa nchini Kenya King Kaka

Kampeni hiyo itasaidia kuwanunulia wanafunzi wa kike taulo za kike ili kuendelea kubakia shuleni, kama ambavyo East Africa Television na East Africa Radio imekuwa ikifanya kwa mwaka wa tatu sasa.

Safari hiyo ya kutembea kwa miguu ametumia kilomita 154 na siku 6 hadi kufika mjini Nakuru.  

King Kaka amesema anashirikiana na Benki ya "On Me" ili kukamilisha zoezi hilo ambalo lengo lao wanahitaji kuwasaidia wanafunzi Laki moja kubaki shule, na ukichangia shilingi 13,389 utakuwa umesaidia mwanafunzi mmoja kubaki shule kwa mwaka mzima.

Zoezi hilo itaambatana na burudani ya muziki kutoka kwa staa huyo siku ya kesho tarehe 24 ya mwezi wa nane.

King Kaka anafuata nyayo za East Africa Television na East Africa Radio, ambao wameshaanza kampeni hiyo ya kuchangia taulo za kike na tayari wameshafanikisha kutoa taulo hizo za kike katika mikoa mbalimbali na kuwafikia wasichana zaidi ya 5000.
 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi