Mshindo Msola
Kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Njombe wamefanikiwa kukamata shehena hiyo ya mifuko 776 iliyojazwa mchanga mithili ya mbolea ya Minjingu tayari kwa kuwauzia wakulima mkoa wa Njombe.
Mshindo Msola ambaye ni Meneja Mauzo wa mbolea za Minjingu ni miongoni mwa viongozi walioagizwa kuhojiwa na Waziri wa Kilimo nchini Hussein Bashe.







