Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msigwa anena kuhusu Demokrasia ndani ya CHADEMA

Jumatatu , 8th Jun , 2020

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuwa mtu aliyesema kwamba chama hicho hakina demokrasia ni muongo kwa kuwa hata kwenye mchakato wa Urais, kimetoa nafasi kwa wanachama wake kuwasilisha barua za kutia nia ya kugombea nafasi hiyo.

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa.

Msigwa ameyabainisha hayo wakati wa mazungumzo maalum na EATV&EA Radio Digital, na kuongeza kuwa chama chao kinayo demokrasia na ndiyo maana hata yeye amepeleka barua ya kutia nia ya kugombea nafasi ya Urais.

"Huyo anayesema ndani ya CHADEMA hakuna demokrasia kwani ni lini chama kimetangaza mchakato wa Urais, chama kimetangaza na kimetoa taarifa wazi na ndiyo maana mimi nimepeleka barua, anayesema hakuna demokrasia alikuwa ni mtabiri muongo, kwanza Sumayae hayuko kwenye chama chetu" amesema Msigwa.

Juni 4, 2020, Msigwa alipeleka barua yake ya kutia nia ya kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu ujao.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali