Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Msijisahau kuna UKIMWI" - RC Mtaka

Jumamosi , 30th Nov , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema watanzania hasa kundi la vijana hawana budi kujisahau juu ya uwepo wa Ugonja la UKIMWI badala yake wawe makini ili wasikumbane na ugonjwa huo.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka.

Anthony Mtaka ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye Kilele cha Siku ya Kijiji Cha Vijana iliyoandaliwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI TACAIDS, ambayo imefanyika mkoani Mwanza.

Mtaka amesema kuwa "Kuna ujumbe unatembea mtandaoni unasema Jinsi UKIMWI ulivyokaa kimya, unaweza kusema haupo, unatukumbusha tusijisahau sana"

Aidha Mtaka amesema kuwa "hili gonjwa la UKIMWI Rais Mstaafu Mkapa alishalitangaza kuwa gonjwa la Kitaifa ndiyo maana wanafunzi wetu kuna elimu wanapewa juu ya namna ya awali ya kujikinga na ugonjwa huu, na hata mimi mwenmyewe niliufahamu kwa mara ya kwanza nikiwa Shule ya Msingi"

Kwa upande wa Mkurugenzi wa TACAIDS Tanzania Dr Leornard Maboko amesema lengo maonesho hayo ni kuwafikia vijana na wamewafikia kwa asilimia kubwa sana.

"Walengwa wakubwa walikuwa ni vijana na vijana walifikiwa kwa ukubwa zaidi kupitia majukwaa mbalimbali ya burudani" amesema Maboko

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali