Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Msiseme mama anazunguka tu'' - Rais Samia

Jumapili , 17th Oct , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema ziara anazofanya nchi mbalimbali zinafaida kubwa kwa nchi hivyo wananchi wasibeze kwani nchi inafunguka na wafanyabiashara sasa wanaweza kuunza ndani na nje ya nchi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan

''Tukizunguka msisema mama anazunguka tu, sitazunguka bila sababu. Nilishacheza vyakutosha kwenye nchi nyingi duniani sasa hivi kazi ni moja tu kuzunguka kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania,'' amesema Rais Samia Suluhu, leo mkoani Arusha wakati akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara.

Katika hatua nyingine ameeleza faida ya zaira alizofanya nchi za nje. ''Ziara nilizokuwa nafanya kwenye nchi jirani madhumuni ilikuwa kuondoa vikwazo vilivyokuwepo, kunyoosha njia ili wafanyabiashara wetu waweze kuuza ndani waweze kuuza nje, tumeondoa vikwazo na Kenya nimeambiwa biashara imekuwa mara 6 kuliko wakati wa vikwazo''.

Aidha amesema hatoogopa kuchukua mikopo ambayo itakuwa na lengo la kusaidia taifa huku akiweka wazi kuwa ile mikopo chechefu hatoichukua.

''Nataka niwaahidi watanzania nitaangalia mikopo yenye unafuu kwa nchi yetu, inayoleta faida kwa nchi yetu, hiyo nitaichukua, mikopo chechefu sitaichukua, lakini inayotusogeza watanzania hiyo sitaogopa nitaichukua,'' amesema Rais Samia Suluhu.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil