Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtanzania achaguliwa Ubunge Pakistan

Jumatano , 15th Aug , 2018

Mwanamke mmoja aitwaye Tanzeela Qambrani ambaye asili yake ni Tanzania ameandika historia kuwa Mwafrika wa kwanza kuchaguliwa kuwa mbunge katika Jimbo la Sindh nchini Pakistan akiwakilisha wanawake.

Tanzeela Qambrani mbunge wa Jimbo la Sindh nchini Pakistan.

Tanzeela ambaye anatoka jamii inayodharauliwa ya waliowachache ya Sheedi yaani watu wenye asili ya Afrika, aliapishwa Jumatatu kuwa mjumbe wa Bunge la Sindh kupitia chama cha Pakistan People’s Party (PPP).

Inaelezwa kuwa Tanzeela ambae amekuwa mtetezi wa elimu na haki za wasichana nchini humo ametokea kwenye jamii Sindh ambayo ndio jamii ya watu wenye asili ya Afrika ambao hubaguliwa sana nchini humo.

Baada ya kuapishwa amesema “Nimejihisi kama Nelson Mandela wakati naapishwa naamini nitakwenda kuipa heshima jamii yangu ambayo imejitahidi kulinda tamaduni za kiafrika licha ya kuwa kwenye himaya ya watu weupe”.

Inadaiwa kuwa Mababu wa Tanzeela ambae ni mtaalamu wa masuala ya Kompyuta walitokea Tanzania kabla ya kuingia nchini humo huku Dada yake mmoja na Tanzeela anatajwa kuolewa nchini Tanzania.

Aidha Tanzeela ana matumaini kuwa uteuzi wake utasaidia kuondoa unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya Watu wa jamii yake ya Sidi wenye asili ya Afrika.

Mpaka sasa familia ya Tanzeela imeendelea kuweka muunganiko na Afrika kwani mmoja wa dada zake aliolewa Tanzania, wakati mwingine aliolewa Ghana.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi