Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtolea aeleza hatma ya kuwania tena ubunge Temeke

Jumatano , 12th Dec , 2018

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke kwa tiketi ya CUF, Abdallah Mtolea amesema licha ya kujiuzulu kwenye nafasi yake bado ana mahusiano mazuri na waliokuwa wabunge wenzake wa upinzani na kusisitiza kuwa mahusiano hayo yatazidi kuendelea.

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke kwa tiketi ya CUF, Abdallah Mtolea.

Mtolea ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na www.eatv.tv iliyotaka kufahamu juu ya namna ambavyo amejipanga kuhakikisha anawania tena nafasi ya Ubunge kwenye jimbo hilo baada ya kuhama chama.

Mtolea amedai siasa haina udaui na kwamba wabunge wote ni watu ambao amekuwa akishirikiana nao kila siku.

"Mimi sina uadui na Mbunge yeyotete, kwa kifupi wabunge wa vyama vyote ni marafiki zangu, kuhusu kama wanahofu kwamba ukaribu wangu nitakuwa nikiwashawishi wabunge wengine wahame mimi siwezi kuwasemea," amesema Mtolea.

"Kuhusu suala la nani atakuwa mpinzani wangu kwenye uchaguzi wa marudio bado sijajua maana mimi bado sijapitishwa kugombea tena na uteuzi utafanyika Disemba 20," ameongeza.

Novemba 15 mwaka huu, Abdallah Mtolea alitangaza kujivua nafasi yake ya Ubunge na kwa kile alichokidai kuchoshwa na mgogoro uliokuwa ukiendelea kwenye Chama cha Wananchi CUF ambapo baadaye altangaza kujiunga Chama Cha Mapinduzi CCM.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa