Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto aliyepotea kwa siku 31, amtaja mjomba

Ijumaa , 20th Sep , 2019

Mtoto Neema Nurdin (8) mkazi wa Kijiji cha Msijute Wilayani Mtwara, aliyedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa siku 31 na kurejeshwa nyumbani kwao Septemba 18, amemtaja mtu aliyemrudisha kuwa ni mjomba.

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa ambapo picha ya kulia akiwa amemshika mtoto baada ya kupatikana.

Akizungumza leo Septemba 20, 2019 na EATV&EA Radio Digital, Kamishina msaidizi wa jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara Ronald Makona, amesema bado wanaendelea na uchunguzi ili kuweza kumbaini huyo mjomba ni nani kwakuwa Neema alifika nyumbani kwao akiwa peke yake.

''Alitokea tu nyumba ya jirani na kusema kuwa ameletwa na mjomba wake ambaye hakuweza kuonekana, baada ya kuonekana alikuwa ni dhaifu, tulimpeleka hospitali kwa ajili ya kupata matibabu na kupimwa ili kujua kama kuna vitu ambavyo si vya kibinadamu amefanyiwa, majibu ya daktari yanaonesha alikuwa dhaifu kulingana na lishe duni''amesema Makona.

Kupatikana kwa mtoto huyo kumekuja ikiwa ni siku moja tu kupita, tangu Mkuu wa mkoa huo Gelasius Byakanwa kulitaka Jeshi la Polisi, kushirikiana na jamii kuhakikisha mtoto huyo anapatikana, agizo hilo alilitoa Septemba 17 na Septemba 18 mtoto alirejea nyumbani.

Kwa mujibu wa Kamanda Makona mtoto Neema amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula na kwamba wanategemea akiruhusiwa, watamfanyia mahojiano ili kubaini alikuwa amehifadhiwa wapi.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa