Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto wa miaka 5 anusurika kubakwa na 'house boy'

Jumamosi , 23rd Jul , 2016

Mtu mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ubakaji wilayani Ilemela mkoani Mwanza.

Sehemu ya jiji la Mwanza

Taarifa mnamo tarehe 13.07.2016 majira ya saa 10:00 jioni katika mtaa wa Kitangiri kata ya Kitangiri wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, mtuhumiwa Elisha Lameck miaka [18] mkazi wa kitangiri alikutwa akijaribu kumbaka mtoto mdogo (Jina lake linahifadhiwa) mwenye umri miaka 5, nyumbani kwao .

Inadaiwa kuwa siku hiyo mtuhumiwa alifika hapo kwenye hiyo nyumba kuwasalimia na kumkuta msichana wa kazi za ndani aitwaye Zulekha Sameer na mtoto, ndipo alipomchukua mtoto huyo na kuingia naye chumbani kisha akafunga mlango.

Baada ya dakika kadhaa dada wa kazi Zulekha Sameer alishangaa ukimyaa uliokuwepo katika chumba walichoingia ndipo alipokwenda kufungua mlango nakukuta ukiwa umefungwa, ndipo alikwenda dirishani kuchungulia na kumuona mtuhumiwa Elisha Lameck akiwa amevua nguo zote pamoja na mtoto huku akizichezea sehemu za siri za mtoto.

Inadaiwa kuwa mtuhumiwa alikuwa mfanyakazi (House Boy) wa mama mwenye nyumba aliyejulikana kwa jina la Mama Shakifu ambaye anaishi Uarabuni kwa sasa, na kwasababu aliwahi kufanya kazi katika nyumba hiyo, mtuhumiwa alikuwa na tabia ya kwenda katika nyumba hiyo kuwasalima.

Mtuhumiwa amekamatwa na yupo chini ya ulinzi wa jeshi la polisi, huku uchunguzi kuhusiana na tukio hilo ukiwa bado unaendelea.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali