Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoto wa Mugabe aingilia mgogoro wa Zimbabwe

Jumatatu , 20th Nov , 2017

Mtoto wa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe na mke wake Grace, Chatunga Bellarmine Mugabe ameingilia kati kinachoendelea nchini humo kwa kukitukana chama cha ZANU PF huku akisema chama hiko bila Mugabe si chochote.

Kwenye ukurasa wake wa Facebook Chatunga ameandika ujumbe akiwaambia wanazimbabwe kwamba hawawezi kumfukuza kiongozi wa mapinduzi, na kwamba baba yake atabaki kuwa shujaa wao siku zote.

"Huwezi kumfukuza kiongozi wa mapinduzi, ZANU PF si lolote bila Mugabe, Gushungo atabaki kuwa mshindi wa washindi, najivunia wewe baba, Gushungo ni milele mpaka kifo, watu kama Wellence Mujuru kusherehekea na kuandamana ni kutokana na wivu  na kuigiza kama anajali watu na mashambulio yasiyo ya tija", ameandika Chatunga

Chatunga hakuishia hapo aliendelea kuandika ujumbe mwingine akisema "sote tunakuwa kwenye maisha na kuwa na jukumu la kutumikia nchi yetu, wote tuna jukumu la kuweka nchi yetu salama na kulinda utaifa wetu, Mungu awabariki wale waliojitoa muhanga kwa taifa letu Zimbabwe", huku akimshukuru Rais wa nchi hiyo kwa kuandika kwa lugha ya Kiswahili.

Chama cha ZANU PF ambacho ndio chama kilichoipatia uhuru Zimbabwe kimetaka kiongozi huyo kujiuzulu leo hii,vinginevyo kitachukua hatua dhidi yake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali