Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Ijumaa , 18th Mei , 2018

Mansa Musa ndiye mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani. Kina Bill Gates na matajiri wa dunia unaowajua hajawahi kufika rekodi ya utajiri wake. Mansa Mussa Alikuwa Mfalme Wa Mali kuanzia mwaka 1312 hadi mwaka 1337.

Alizaliwa mwaka 1280 na lipewa jina la "Mansa" likimaanisha mfalme wa wafalme, sababu alitawala ufalme mkubwa Afrika, uliojulikana kama "Malike Empire" au Mali Empire. Babu yake Mansa Musa alikuwa kaka wa Sundiata Keita ambaye alianzisha 'Mali empire'.

Anashikilia rekodi ya kuwa mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani ambapo utajiri wake umetajwa kuwa dola za kimarekani bilioni 400, ambazo kina Bill Gates na hata tajiri namba moja wa sasa Jeff Bezos, hawjahi kufikia, kwa mujibu wa mtandao wa Bloomberg Billionaires Index

Wakati wa utawala wake alikuwa akimiliki dhahabu zenye thamani kubwa. Aliwahi kufanya safari ya kihistoria ambapo alipeleka Hija watu 60,000 kwa mpigo! na kuwasafirisha watumwa 12,000 kwa ajili ya ibada hiyo takatifu kwenye dini ya Kiislam, huku akisafiri kwa kutumia ngamia zaidi ya 100 ambao wamebeba dhahabu zenye kilo zaidi ya 100 kila mmoja.

Imeelezwa kwamba alikuwa na desturi ya kujenga misikiti kila ijumaa, na baadhi ya misikiti aliyoijenga ni pamoja na Msikiti mkubwa wa Djingareyber ambao upo mpaka leo, na umewekwa chini ya Urithi wa dunia na UNESCO.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi