Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtwara kupigishwa kwata

Jumapili , 20th Aug , 2017

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego amesema ataandaa mafunzo maalumu ya ukakamavu kwa ajili ya watendaji wote wa serikali mkoani humo wakiongozwa na yeye mwenyewe kwa ajili ya kuwaweka imara viongozi hao.

Akizungumza mkoani humo, Dendego amesema wapo baadhi ya watendaji ambao wanabweteka katika utendaji kazi, hivyo kupitia mafunzo hayo anaimani watapiga kwata la maendeleo kwa wananchi wanaowaongoza.

"Viongozi wote nitawaandalia mafunzo maalumu, Tukafungiane tukapige kwata na tukirudi tupige kwata la maendeleo. Wale ambao walipita jeshini wao wataji-brush tu" alisema

Aidha, mkuu huyo wa mkoa akaeleza dhamira yake ya kubuni vazi la kizalendo la mkoa huo ambalo litavaliwa na viongozi wote wa serikali katika siku zote za kazi ili kuwarahisishia wananchi kuwatambua viongozi wao.

Oktaviani Lepembile ni afisa tarafa wa Mtwara mjini, anaeleza namna alivyopokea mapendekezo hayo ya mkuu wa mkoa.

Sikiliza hapa chini akifafanua zaidi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali