Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muhimbili yaeleza sababu ya vifo vya majeruhi

Jumatano , 21st Aug , 2019

Kufuatia kuwepo kwa maswali kadhaa ya watu kuhoji,  sababu inayopelekea majeruhi wa ajali ya moto waliohamishiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufariki kila iitwapo leo, uongozi wa hospitali hiyo umebainisha chanzo cha vifo hivyo.

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Daktari bingwa wa upasuaji katika Hospitali hiyo  Dk. Laurian Rwanyuma, amesema kuna weza kukawa kunautofauti wa vifaa vinavyopatikana katika hospitali zilizo nje ya nchi, lakini tatizo kubwa lililojitokeza ni wagonjwa kuungua sehemu kubwa ya miili yao.

''Katika suala hili wataalamu wapo, vifaa vipo tunaweza kuzidiana na nchi zingine za Ulaya, lakini tatizo kubwa lililojitokeza ni wagonjwa kuungua sehemu kubwa za miili, wameungua asilimia 80, 90 hadi 100, lakini tunapigana na maisha ya binadamu, hatuwezi kuhukumu kwamba huyu hawezi kutibiwa kwa sababu hiyo iko nje ya maadili ya kidaktari'' amesema Dk Rwanyuma.

Ufafanuzi huo umetolewa leo Agosti 21, ambapo hadi leo idadi ya vifo vilivyotokana na ajali hiyo vimefikia 100, ambapo hospitali hiyo imesalia na wagonjwa 15 kati ya wale majeruhi 47 iliyokuwa imewapokea kutoka mkoani Morogoro.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa