Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanafunzi mmoja afariki ajalini

Alhamisi , 30th Mar , 2023

Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Nyamilama Fadhili Maghembe,   amefariki dunia huku wanafunzi wengine 17 wakijeruhiwa kwenye ajali ya gari iliyotokea majira ya asubuh katika eneo la Gatuli kata ya Ng’undi wilayani Kwimba mkoani Mwanza.

 

Chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa ni mwendo kasi wa dereva ambapo gari hilo lilikuwa na wanafunzi 40 waliokuwa wakielekea Mwanza mjini kwa ajili ya likizo baada ya kufunga shule.

Mmoja wa wanafunzi waliokuwa katika gari hilo amesema gari lilimshinda dereva wakati akijaribu kukata kona baada ya kugonga bonde lililosababisha gari likose muelekeo na kwamba dereva huyo alikuwa mkaidi hata walipomsisitiza apunguze mwendo. 

Mganga mfawidhi wa hospitali  ya wilaya ya Kwimba Dk. Neema Gervas, amesema amepokea majeruhi 17 kwenye ajali hiyo huku mmoja akiwa amefariki dunia, na 12 kati yao wamepata majeraha makubwa huku wanafunzi wengine 6 wanafanyiwa uchunguzi wa mionzi .

"Wanafunzi 6 wamekwenda kwenye uchunguzi wa mionzi kwa sasa tunasubiri majibu ya X ray ili tuweze kujua hatua inayofuata pamoja na hapo tumeshatoa huduma ya awali ya dawa za maumivu na dawa za kuzuia tetenasi kwa wale wenye majeraha".

Mkuu wa wilaya ya Kwimba Ng’wilabuzu Ludigija, amefika katika hospitali ya wilaya ya Kwimba kuwajulia hali majeruhi wa ajaili hiyo na kutoa wito kwa madereva wote kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuendesha gari kwa mwendo wa kawaida utakaomsaidia dereva kulimudu vizuri hata inapotokea dharura.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali