Ijumaa , 12th Feb , 2021

Aliyewahi kuwa mbunge wa Tanga na Waziri wa Sheria na Katiba Bakari Harith Mwapachu, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 12, 2021, katika hospitali ya Taifa Muhimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu.

Bakari Harith Mwapachu, wakati wa uhai wake

Mwapachu alikuwa mbunge wa Tanga kuanzia 2000 hadi 2010 na amewahi kushika nafasi mbalimbali Serikalini kwa nyakati tofauti.

Taarifa kamili inafuata