Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwenyekiti CCM arejesha kiwanja alichojimilikisha

Jumatatu , 16th Nov , 2020

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kata ya Bagamoyo wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Charles Mbaluka, amerejesha kiwanja cha chama hicho alichokuwa amejimilikisha kinyume na utaratibu tangu mwaka 2015.

Mkuu wa TAKUKURU mkoani Manyara Holle Makungu.

Taarifa hiyo imetolewa hii leo na Mkuu wa TAKUKURU mkoani Manyara Holle Makungu, na kueleza kuwa uchunguzi ulibainika kwamba mwenyekiti  huyo kwa kuvunja maadili ya utumishi wa umma na chama chake alijimilikisha eneo hilo kwa kujenga nyumba yake na kuuza kipande kingine cha eneo kwa shilingi laki saba .

Hata hivyo mtuhumiwa alikiri kujimilikisha kiwanja hicho kinyume na sheria ambapo kiwanja hicho kitarejeshwa na kukabidhiwa kwa mkuu wa wilaya ya Kiteto Kanali Patric Songea, siku itakatayopangwa ili akikabidhi kwa viongozi wa CCM,kata ya Bagamoyo.

Aidha wametoa rai kwa viongozi wa CCM kuzitambua mali zote za chama hicho mkoani Manyara ikiwemo viwanja na kuhakikisha vinakuwa na hati miliki ili kuepusha kuporwa kwa mali hizo na viongozi wasio waadilifu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali