Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwigulu aelezea CCM kukosa ushindi kwenye uchaguzi

Jumatano , 15th Mei , 2019

Aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amedai ushindi ambao wamekuwa wakiupata Chama Cha Mapinduzi hautokani na kupendelewa na Wakurugenzi wa ambao ni wasimamizi wa uchaguzi.

Aliyekuwa Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba.

Mwigulu ametoa mkauli hiyo ikiwa ni siku chache baada ya Mahakama kuu ya Tanzania kubatilisha sheria inayowapa Mamlaka Wakurugenzi kusimamia Uchaguzi huku baaadhi yao wakiwa wafuasi wa vyama vya siasa, kesi ambayo ilifunguliwa na Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe.

Akijibu tamko la ACT - Wazalendo ambao walihoji juu ya CCM kupata ushindi wa upendeleo, Mwigulu Nchemba amesema, "ushindi wa CCM hautokani na na hisani ya Wakurugenzi bali ni kura za wananchi. CCM ina heshima ya urithi wa ukombozi wa nchi hii ambayo chama kingine chochote hakina".

"CCM ina mtandao wa wanachama na muundo wa kitaasisi kuliko chama chochote kile nchini, CCM mara zote imekuwa na ilani bora, sera bora, na wagombea bora kuliko wengine." amesema Mwigulu Nchemba.

"Acheni Wanasheria wafanye ya kisheria, wanasiasa msitafute huruma na visingizio, wakati wengine hamna hata wanachama wanaofikia idadi ya wanachama wa CCM wa kijiji kimoja, hata mkisimamia wenyewe uchaguzi CCM ina wapiga kura itashinda", amemalizia katika maoni yake Mwigulu Nchemba.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ