Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba
Dkt. Nchemba ametoa ahadi hiyo Jijini Dar es Salaam alipokutana na Jumuiya hiyo ya Kimataifa kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yaliyojitokeza kwenye Bajeti Kuu ya Serikali iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.

