Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwijage awapiga mkwara wenyeviti, madiwani wa CCM.

Jumatatu , 5th Oct , 2015

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwijage, amewataka wananchi kuwapiga vita na kuto wathamini mabalozi na wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwasababu hawatambuliki kikatiba.

Makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Severina Mwijage

Akizungumza jana mkoani Mtwara katika mikutano yake ya kunadi sera za chama na kuwaombea kura wabunge na madiwani wa halmashauri ya Mtwara vijijini, amesema viongozi hao wamewekwa kwa ajili ya kuuhujumu upinzani na kwamba mwisho wao ni mwezi Oktoba mwaka huu.

Amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi Oktoba 25 kwa ajili ya kupigia kura UKAWA na kutokuwa na wasiwasi wowote juu ya kuibiwa kura na kwamba uwezekano huo haupo kutokana na kuwepo kwa viongozi mbalimbali ambao awali walikuwepo CCM kabla ya kuingia upinzani.

Akizungumzia namna watakavyoweza kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi wa halmashauri ya Mtwara vijijini ambazo ni pamoja na elimu, maji na afya, alisema jambo la kwanza ni kufumua mikataba ya rasilimali za gesi asilia na mafuta ambayo wanaamini ndio imebeba utajiri wa wananchi wa maeneo hayo na Kusini kwa ujumla.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi