Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwili wa marehemu Mawazo kuzikwa kesho

Jumapili , 29th Nov , 2015

Mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita Alphonce Mawazo umeagwa leo Geita Mjini na unataraji kuzikwa kesho Katika kijiji cha Chikobe mkoani Geita.

Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Geita Alphonce Mawazo umeagwa leo Geita Mjini na mamia ya wananchi wakiongozwa na mweyekiti wa CHADEMA Bw. Freeman Mbowe.

Shughuli hiyo ya kuuaga mwili huo mkoani Geita pia ilihudhuriwa na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CHADEMA Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye pamoja na wabunge 50 wa CHADEMA.

Mwili wa Mawazo umeagwa pia katika jimbo alilogombea ubunge la Busanda ambapo ulipokelewa na mamia ya wananchi ambao walilibeba jeneza lake kwa umbali wa zaidi ya kilomita moja hadi katika uwanja wa Mnadani CCM ambapo ndipo shughuli za kuuga zimefanyika.

Marehemu Alphonce Mawazo aliyeuwawa kwa kukatwa na mapanga Novemba 14, katika kijiji cha Katoro na watu wasiojulikana atazikwa kesho kijijini kwao Chikobe tarafa ya Butundwa Mkoani Geita.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri