
Walinzi katika Msitu ya TANWAT uliopo karibu na Bwawa hilo wamesema majira ya saa 11:10 Alfajiri ya Novemba 21 waligundua uwepo wa mtu ambaye alikuwa akisogea katika bwawa Hilo huku akiwa ameshika tochi na baada ya kufika akaanza kuingia ndani ya bwawa hilo na hata walipojaribu kumuita ili atoke nje ya bwawa hakuwasikiliza
Baada ya Mwili Huo Kutolewa katika Bwawa Jeshi la Zimamoto limewataka wananchi kuutambua Mwili huo lakini Wananchi wamekiri kutomfahamu mtu huyo.