Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwisho wa Dkt. JK mwanzo wa Dkt. Magufuli leo

Alhamisi , 5th Nov , 2015

Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli anaapishwa leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi baada ya kushinda katika uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na rais mteule wa awamu ya tano Dkt. John Pombe Magufuli

Dkt. Magufuli alivuna asilimia 58.46 ya kura halali zilizopigwa na kuwazidi wagombea wengine saba akiwemo Mpinzani wake mkuu katika kinyang'anyiro hicho waziri mkuu wa Zamani Mh. Edward Ngoyai Lowassa.

Jana Rais Kikwete anayemaliza muda wake wa awamu ya nne alitangaza mapumziko ya kitaifa hii leo kupisha tukio hilo kubwa na la Kihistoria la kuapishwa mrithi wake katika serikali ya awamu ya tano Dkt. John Magufuli.

Viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa wanatarajiwa kuhudhiria katika shughuli hiyo wakiwemo marais saba kutoka nchi mbalimbali wakiwemo marais wote wa Afrika Mashariki pamoja Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma.

Hapo jana Baraza la wazee jijini Dar es Salaam walimtaka Rais huyo mteule anayeapishwa leo kuwaunganisha watanzania na kutumia busara katika uongozi wake huku akiwataka walioshindwa katika kinyang'anyiro hicho kuungana katika kuleta maendeleo na amani ya nchi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali