Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Na akili zangu timamu sikabidhi kitu kibaya"- RC

Jumatano , 3rd Feb , 2021

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme, amekataa kukabidhi madawati 50 pamoja na meza 10 za walimu katika shule ya msingi Mtakanini iliyopo wilaya ya Namtumbo  mkoani humo baada ya kukuta meza pamoja na madawati yakiwa mabovu na kuagiza yaende yakafanyiwe marekebisho.

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme

Hatua hiyo imejiri wakati alipokwenda kuzindua vyumba viwili vya madarasa pamoja na kukabidhi madawati 50 na meza 10 za waalimu katika shule ya Mtakanini iliyopo mkoani humo.

"Madawati yameshavimba tayari hata mtoto hajakalia, meza imeachia, kiti kimeachia wakikaa sketi zitachanika naomba marekebisho yakafanyike, Haya madawati wala meza sikabidhi mpaka zikafanyiwe marakebisho, siwezi kukabidhi kitu kibovu namna hiyo, hawezi kututengeneza kitu kibovu cha namna hii, mimi na akili zangu timamu nakabidhi kitu kibaya namna hii siwezi", amesema RC Mndeme

Awali akielezea changamoto ambazo zinaikabili shule hiyo, mkuu wa wilaya ya Namtumbo Sophia Kizigo, amesema shule hiyo inakumbwa na changamoto ya ukosefu wa madawati 40 pamoja na meza za walimu hali inayofanya wanafunzi kushindwa kushiriki masomo kikamilifu.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi