Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Naona mmeanza kunielewa"- IGP Sirro

Ijumaa , 20th Apr , 2018

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro amefunguka na kudai anashukuru kuona baadhi ya wahalifu nchini wameanza kuelewa juu ya kauli yake ya 'uhalifu haulipi' huku akiendelea kuwasisitizia wengine ambao bado wanaendelea kujishughulishia na mambo hayo kuwa wasije kuilaumu serikali

IGP Sirro ametoa kauli wakati alipokuwa amefanya ziara ya kushtukiza kwenye kambi ya Jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa lengo la kutaka kujua changamoto na hali walizokuwa nazo askari ndani ya kambi hiyo ili mradi aweze kushughulikia mapungufu atakayokumbana nayo.

"Mambo yanaweza yasiende vizuri sana kwa sababu kuna watu wengine wanataka waone wapi kuna upungufu ambapo askari hawafanyi kazi vizuri ili waweze kufanya uhalifu wao, na huwa ninasema siku zote uhalifu haulipi. Utapiga bunduki, utaiba leo, kesho ukiingia mahali pabaya usilaumu serikali", amesema IGP Sirro.

Aidha, IGP Sirro amesema sasa hivi kila mhalifu akitaka kuchukua bunduki kuenda kufanya tukio huwa anajiuliza mara mbili mbili kama ataweza kurudi salama huko aendapo.

"Nashukuru sasa hivi wameanza kunielewa kwamba uhalifu haulipi", amesisitiza IGP Sirro.

Kwa upande mwingine, IGP Sirro amesema hapendi kumuona askari polisi akiwa legelege kwa kuwa akiwa hivyo atoweza kumlinda raia ipasavyo.

Mtazame hapa chini IGP Sirro akifunguka zaidi juu ya askari polisi waliyokuwa legelege

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa