Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nape awashawishi wakulima wa Korosho

Jumatatu , 16th Jul , 2018

Mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye amewasihi wakulima wa korosho wa mikoa ya Kusini kuikubali sheria mpya inayohusu tozo za zao hilo ambayo imepitishwa na Bunge.

Mbunge wa Mtama, Nape Moses Nnauye

Nape amesema hayo akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika mkutano wa hadhara Jumapili, Mei 15 ambapo amewaomba wakulima hao kwa sasa waikubali sheria hiyo na waipe imani serikali kama inavyosema kuwa sheria hiyo ina manufaa kwao.

Katika mkutano huo Nape amesema  "tunaidai serikali waitekeleze sheria yao waliyoipitisha kwa mwaka huu mmoja, baada ya hapo tutafanya tathmini kuona kama sheria yao imetufaa au haikutufaa".

Pia Nape ametumia mkutano huo kuwaondoa hofu wananchi wa jimbo lake juu ya taarifa zilizosambaa kuwa anataka kukihama chama hicho, akisema kuwa hana mpango huo kwa sasa kwa kuwa ana hisa nyingi ndani ya chama hicho.

Juhudi za kuwapata viongozi wa Bodi ya Korosho (CBT) waweze kuzungumzia kwa upande wao zimegonga mwamba kwa kuwa viongozi hao hawakutaka kuonesha ushirikiano.

Mwezi uliopita serikali ilipeleka Bungeni muswada kuhusu kuondolewa kwa tozo ya asilimia 65 ya usafirishaji wa nje wa zao hilo kutoka kwa wakulima kwenda kwenye mfuko wa hazina huku Bodi ya Korosho ikiidai serikali takribani shillingi billion 200, licha ya kupigwa vikali muswada huo ulipitishwa na wabunge na kuwa sheria rasmi.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil