Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nassari ashtakiwa, Spika atakiwa 'kumvua Ubunge'

Jumanne , 12th Feb , 2019

Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Meru mkoani Arusha kimelalamikia kutoonekana kwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari kwa zaidi ya miaka 2 na kueleza kutokuwa na taarifa yoyote kiongozi huyo yuko wapi.

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wilayani humo,Simon Kaaya, wanalazimika kufanya kazi za Mbunge huyo licha ya kutokuwepo katika mikutano ya Bunge kwa kipindi kirefu.

Akizungumza Jijini Arusha Simon Kaaya amesema, "tunajua mheshimiwa Lissu alikuwa anaugua na yuko nje ya nchi kwa matibabu lakini kuna kijana mwingine, Joshua Nassari ambaye hatujui yuko wapi Bungeni hayupo, jimboni hayupo huu sasa ni mwaka wa pili lakini sijamsikia Spika akitoa mwongozo tunamuomba Spika atusaidie."

Mara kwa mara Joshua Nassari amekuwa haonekani lakini kupitia chama chake walishawahi kueleza kiongozi huyo alikuwa akimalizia masomo yake nje ya nchi.

Lakini kupitia ukurasa wake rasmi wa instagram, Joshua Nassari mara ya mwisho alipost picha Januari 27 mwaka huu akiwa na moja ya viongozi kutoka nchini Kenya Raila Odinga lakini hakubainisha ni wapi alipokuwa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi