Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NBS yaweka sawa takwimu za kupungua kwa ajira

Jumatano , 14th Aug , 2019

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekanusha habari iliyosambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii ikieleza taasisi hiyo kukiri sekta ya ajira binafsi kupungua kwa asilimia 42.6% na serikalini zikiwa mepungua kwa asilimia 78.1% ndani ya mwaka mmoja.

Katika taarifa hiyo, NBS imesema kuwa wanajiandaa kufanya utafiti wa watu wenye uwezo  wa kufanya kazi utakaofanyika mwaka 2019/20 na ilifanya makisio ya mwenendo wa hali ya soko la ajira kwa 2018.

"Matokeo ya takwimu hizo yanaonesha kuwa idadi ya watu walio na ajira imeongezeka kutoka milioni 20.0 mwaka 2014 hadi milioni 22.0 mwaka 2018", imesema sehemu ya taarifa hiyo.

Takwimu hizi hutumika pia kama kigezo cha kufanya maoteo ya hali ya ajira katika vipindi ambavyo hakuna tafiti zilizofanyika ili kutoa hali ya soko la ajira katika vipindi vifupi vifupi.

"2017/18 kulikuwa na jumla ya ajira 552,063 zilizozalishwa nchini ikilinganishwa na ajira 453,466 kwa mwaka  2016/17, hili  ni  ongezeko la  ajira  98,597  sawa  na  asilimia  21.7  kati  ya  mwaka 2016/17 na mwaka 2017/18."

Aidha NBS imefafanua kuwa kati ya ajira 552,063 zilizozalishwa nchini mwaka 2017/18, ajira 415,009 sawa na asilimia 75.0  zilikuwa  ni  ajira  kutoka  Serikalini, ajira hizi zinajumuisha ajira 18,000 kutoka Serikali Kuu  na  ajira  397,009 kutoka  katika  miradi  ya  maendeleo  kupitia  Mpango  wa  Pili  wa Maendeleo wa Taifa wa m

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya