Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndege iliyobeba wanasiasa yaangukia Ziwa Nakuru

Jumamosi , 21st Oct , 2017

Ndege moja inayodaiwa kuwa ni ya mmiliki binafsi iliyokuwa imebeba wanasiasa nchini Kenya imeanguka katika Ziwa Nakuru nchini humo.

Taarifa kutoka kwa Mwandishi wetu amesema kwamba Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa na serikali ya nchi hiyoimesema kwamba wealiokuwepo ndani ya ndege hiyo ni wanasiasa wa Jubilee ambao walikuwa wakienda kufanya kampeni

Haijabainika ni wanasiasa wa Kiwango kipi ambao walikuwepo ndani ya ndege hiyo iliyoanguka.

Taarifa iliyotolewa kwa wanahabari naMkuu wa kukabiliana na majanga haijasema chanzo kilichosababisha ndege hiyo kuanguka.

Hata hivyo inadaiwa kwamba nchi hiyo tangu usiku wa kuamkia leo kulikuwa na mvua kubwa.

Msemaji wa serikali anatarajiwa kuzungumza kutoa taarifa kamili pamoja na idadi ya hao wanasiasa.

Taarifa kutoka Seneta wa Nakuru Bi Susan Kihika baadhi ya waliokuwepo kwenye helikopta hiyo walikuwa ni timu yake ya mawasiliano.

Endelea kufuatilia ukurasa huu kwa Taarifa zaidi.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini