Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndugai ahoji sababu ya wananchi kuichagua CHADEMA

Jumatatu , 18th Mei , 2020

Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amehoji kama ipo sababu ya wananchi kuendelea kuwapigia kura na kuwachagua viongozi wa CHADEMA, kwa kile alichokieleza kuwa chama hicho ni kama kundi tu ambalo linaongozwa na mtu mmoja.

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai.

Spika Ndugai ameyabainisha hayo leo Mei 18, 2020, jijini Dodoma, wakati akizungumza na Waandishi wa Habari na kumuomba Mbowe ajirekebishe kwa kuwa amekuwa ni kiongozi kwa muda mrefu na aache kuwaonea Wabunge wake ikiwemo kuwakata mishahara yao.

"Wabunge wamechaguliwa na wananchi, wewe unawafukuza tu, haujali hata wale wananchi waliokaa foleni kuwachagua wawakilishi wao, hivi kesho na keshokutwa mwananchi ana sababu gani ya kuchagua Mbunge wa CHADEMA, ambaye anaenda kutawaliwa na Mbowe na kundi lake na kuamrishwa mwanzo mwisho, kuingizwa na kutolewa Bungeni wanavyotaka wao, Mbowe ajifunze kubadilika" amesena Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai, amemuomba Mbowe kuacha kujipima mabavu na Rais Magufuli kwa kuwa ni mkuu wa nchi na anapaswa kumuheshimu.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa