Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni bandika bandua kampeni za urais Kaskazini

Alhamisi , 8th Oct , 2015

Wakazi wa Arusha, Kilimanjaro na Manyara jana waliendelea kupokea Wagombea Urais kupita vyama CCM,CHADEMA, na ACT-Wazalendo katika maeneo yao huku wagombea hao wakiendelea kumwaga sera zao.

Mgombea wa Urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo Anna Mghiwira.

Mgombea wa UKAWA kupitia chama cha CHADEMA, Mh. Edward Lowassa alihutubia mikutano yake katika majimbo ya Namanga na Longido Mkoani Arusha, wakati Mgombea wa CCM, Dkt. John Magufuli aliwahutbia wakazi wa Hai na Moshi Mjini huku Mgombea wa ACT- Wazalendo Anna Mghiwira akiwa Karatu Mkoani Manyara.

Kwa nyakati tofauti wagombea hao waliweza kueleza nia walizonazo huku Mh. Lowassa akiwashutumu wale wanamtuhumu kwa matusi majukwaani huku Dkt. Magufuli akitoa maagizo kwa Halmshari ya Moshi kuhusu Wafanyabiashara na Mama Anna Mghwira akiishtumu Serikali kuzembea katika Sekta ya Utalii.

Katika hatua nyingine kwa mara ya kwanza jana mgombea urais kupita chama cha NRA Bw. Janken Malik Kasambala alizungumza na Wananchi wa Mbagala katika mkutano wake wa kwanza toka kufungulia kwa mbio za kampeni.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa