Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Ni wivu tu na kelele za chura' - Rais Magufuli

Jumatatu , 16th Sep , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameonesha ni namna gani alishangazwa  na Mkulima aliyeishikilia Ndege ya ATCL kwa mamlaka ya Mahakama kuu ya Afrika Kusini, kwa kile alichokieleza ni wivu tu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli

Rais Magufuli ameyabainisha hayo leo Septemba 16, 2019, wakati wa uzinduzi wa Rada ya kuongozea ndege katika anga la Tanzania, ambapo ameeleza kuwa Shirika la Ndege la Tanzania linafanya vizuri na ndio maana kuna watu wanajitokeza kuishikilia.

''Shirika letu la ndege linaendelea vizuri, ndio maana mkisikia watu wanakamata ndege zetu msishangae sana hii ni kwa sababu ndege zetu zinafanya kazi vizuri, mimi huwa naona kama kelele za chura hazimzuii Ng'ombe kunywa maji'' amesema Rais Magufuli.

Ndege ya ATCL ilikamatwa nchini Afrika Kusini mnamo Agosti 23, 2019 na iliachiwa Septemba 3 mara baada ya jopo la mawakili wa Serikali kwenda nchini humo na kushinda kesi hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi