Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nice & Free Pads yawaweka shuleni watoto 85

Alhamisi , 8th Jul , 2021

Kampuni ya Nice & Free Pads imechangia pedi kwa wanafunzi wa kike 85 watakaotumia kwa muda wa mwaka mmoja kupitia kampeni ya Namthamini ili waweze kupata hedhi za salama na kuendelea na masomo bila kuwa na hofu ya katika kipindi chote cha muhula wa masomo pindi wanapokuwa kwenye siku zao.

Mkurugenzi Mtendaji wa East Africa Television na East Africa Radio Regina Mengi (Kushoto) akipokea mchango kwa ajili ya Kampeni ya #Namthamini kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Nice & Free Pads, Nice Kennedy (Kulia).

Akizungumza na EATV Mkurugenzi Mtendaji wa Nice & Free Pads, Nice Kennedy, amesema kama kampuni inayojishughulisha na usambazaji na uuzaji wa taulo za kike (Pedi), inatambua uhitaji mkubwa uliopo wa pedi kwa wanafunzi wa kike hususani katika maeneo ya vijijini hivyo kupitia kampeni hii wanafunzi wa kike wanakwenda kuwa na furaha ikiwa ni pamoja kuinua elimu yao.

Aidha, Mkurugenzi huyo amepongeza Kampeni ya Namthamini ya EAST AFRICA TELEVISION ikishirikiana na Flaviana Matata Foundation pamoja na uongozi mzima kwa kampeni hii, na kusema kwamba  inaenda kugusa na kuwainua watoto wa kike nchini ambao wanashindwa kuhudhiria masomo kutokana na kukosa taulo za kike.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi