
Ramani ya Nigeria
Kwa mujibu wa msemaji wa shirika la kimataifa la Rotary, Stephanie Mucznick amesema wagonjwa wote watatu wanaougua maradhi hayo wanatoka katika maeneo ya Kaskazini Mashariki ambayo yamekuwa yakikumbwa na maradhi hayo kwa miaka kadhaa sasa.
Afisa huyo amesema kisa cha hivi karibuni kinamhusu mtoto wa umri wa miaka miwili ambaye aligundulika kuugua maradhi hayo Agosti 6, mwaka huu.
Maradhi ya kupooza huwakumba zaidi watoto wadogo na hayana tiba inagawa yanaweza kuzuiwa kwa njia chanjo pekee
