Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nikikubali wananchi watanishangaa" - Nape

Jumatano , 16th Mei , 2018

Mbunge wa Mtama (CCM) Nape Nnauye amesema kwamba hawezi kukubali bajeti ya kilimo ipite kwasababu wananchi wake pamoja na wakulima watamshangaa kwa kukubali bajeti hiyo ambayo haina uhalisia kwa maisha ya mtanzani hasa mkulima.

Nape amesema hayo Bungeni leo Mei 16 wakati wa kuchangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi katika wizara ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na kumtaka waziri husika asione tabu kwenda kuingalia upya bajeti hiyo.

“Bidhaaa ambazo wananchi wanatakiwa kuuza bidhaa zao na wakanunue bidhaa kama sukari, mafuta ya kula na vitu vingine vyote vimepanda sana, sasa uhalisia unakataa, mimi nikikubali wananchi wangu, wakulima wa mbaazi, ufuta, pamba na wakulima wengine wote nchi hii watanishangaa” amesema Nape

Mbunge huyo ameongeza kwamba katika mwaka wa fedha 2016/2017 serikali ilitenga 0.93% ya bajeti katika wizara ya kilimo na katika mwka wa fedha 2017/2018 bajeti ikapungua mpaka kufikia 0.85% na mwaka mpya wa fedha 2018/2019 imezidi kushuka mpaka 0.52%

Nape alisema serikali ya awamu ya tano ina mtihani mkubwa wa kujibu kwa wananchi kutokna na changamoto mbalimbali ambazi zipo katika wizara ya kilimo na hivyo kutaka wizara hiyo kupitia upya mapendekezo ya bajeti yake.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa