
Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt John Pombe Magufuli
Dkt Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo wakati akizungumza na wananchi wa Chato wakati wa mkutano wake wa kampeni na kuendelea kusisitiza suala la amani kwa Watanzania.
"Mzee Mkapa wakati ananinadi alininadi kwenye kiwanja hikihiki, ndiyo maana kila ninapomfikiria Mzee Mkapa moyo unaniuma, maana yeye ndiye aliyeniokota huku jalalani, kwa sababu kuna msemo siku hizi mtu akipata kazi anaitwa ameokotwa jalalani na Magufuli", amesema Dkt Magufuli.
Tazama video hapa chini