Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikitumwa kazi na Rais siwezi kataa-Katibu CHADEMA

Ijumaa , 12th Oct , 2018

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt Vincent Mashinji amesema kuwa hawezi kukubali kuwa mtumishi wa serikali kwa ajili ya kukwepa mgongano wa kimslahi lakini kama atapewa jukumu na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli lenye manufaa kwa nchi hawezi kukataa.

Akizungumza na www.eatv.tv ili kufahamu kama angeweza kurudi kuwa mtumishi wa Serikali kama historia yake inavyoonesha ambapo alikuwa moja ya madaktari waliofanya kazi kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Dkt Mashinji amesema,

 "Naweza kufanya kazi na Serikali lakini siwezi kuwa mwajiriwa wa serikali sasa hivi kwasababu nimeshajiingiza kwenye Dunia nyingine ikiwemo biashara. Ni vizuri vijana wengine wanaotafuta uzoefu wa kiutumishi wakarudi kwenye utumishi wa umma na wakapata uzoefu wa kiutendaji tukawaachia wakaitumikia nchi ".

"Lakini tunautaratibu wetu kama taifa, ikitokea Amiri Jeshi Mkuu anapokutuma kazi huwezi ukakataa, kama ikitokea kama nimetumwa kazi kama Taifa nitafanya na nitawajibika kufanya kazi kwa moyo mkunjufu na furaha", ameongeza.

"Lazima wananchi tutofautishe shughuli za kisiasa na shughuli za kitaifa ikitokea leo hii nikiteuliwa na Rais kuwa mjumbe wa tume ya mabadiliko ya katiba ya taifa siwezi kukataa kwa sababu jambo hilo lina manufaa kitaifa".

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma