Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikk ataja sababu Mastaa kuwachunia mashabiki

Jumatano , 21st Aug , 2019

MwanaHipHop kutokea kundi la Weusi Nikki Wa Pili, ameeleza sababu ya watu maarufu kupenda kujibu maoni 'Comments' za watu maarufu wenzao, kupitia mitandao ya kijamii, tofauti na watu wa kawaida.

Nikki Wa Pili ameeleza hayo baada ya kuandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter  kuwa

Nimewahi kuona watu wakishambulia watu maarufu mitandaoni, kuwa wanajibu comment za watu maarufu wenzao, kiukweli bora wajibu hizo sababu inakua ni maongezi yenye staha, watu wengine hawana ustaarabu au wanatafuta vijisifa au hawajui kutawala, hisia zao yaani nivichekesho

Baada ya kuandika hivyo kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter Nikki Wa Pili alishambuliwa na watu kwa maneno kwa lugha chafu huku wakisema,

"Si sawa kwa watu maarufu kufanya hivyo, kwa sababu wakitaka kusaidiwa wanawaomba watu wa kawaida na sio watu maarufu wenzao, kwa pia watu wa kawaida wapo wengi kuliko watu maarufu” aliandika moja ya watu ambao ni wanamfuatilia kwenye ukurasa wake.

Msanii huyo kwa sasa hivi amekuwa akijiachia zaidi katika mitandao ya kijamii, akimuonesha mpenzi wake Miss Joan 'Mama Zuri'.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil