Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nilivaa viatu mara ya kwanza nilivyotoka jando-JK

Jumatatu , 24th Sep , 2018

Rais mstaafu wa awamu ya nne wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amesema alipotakiwa kuacha kuvaa viatu shuleni na mwalimu wake wa shule ya msingi ndio sababu iliyopelekea kukiita kitabu chake safari ya kutoka shule bila viatu hadi Urais.

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.

Rais Mstaafu Kikwete ameyasema hayo hivi karibuni wakati akizindua usomaji wa kwanza wa kitabu chake katika Chuo Kikuu cha Newyork kilichopo Marekani ambacho amekipa jina “The Journey of My Life From a Barefoot Schoolboy to President”.

Rais Kikwete amesema “Nilipata viatu (raba) kwa mara ya kwanza nilivyotoka jandoni ,nilikwenda navyo shule mwalimu akanambia kesho usije na viatu kila mtu hana viatu humu, kitu muhimu nachowashauri wazazi wawasaidie watoto wao kusoma, na watoto watimize wajibu wao wa kusoma".

Kitabu hicho kinatarajiwa kufanyiwa tafsiri ya kiswahili ikielezea maisha ya kiongozi huyo mstaafu ambae alishawahi kuiongoza Tanzania kama wa Rais wa awamu ya nne kuanzia mwaka 2005 hadi 2015 akiwa pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa