Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nitachaguliwa na Zitto ataachwa" -Abdul Nondo

Jumapili , 5th Jul , 2020

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana wa ACT Wazalendo Abdul Nondo amesema kuwa hakuona haja ya yeye kumshirikisha Zitto Kabwe kama anataka kutia nia ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjini  kwa kuwa chama hicho kinazingatia demokrasia na kwamba hakina Papa bali wanachama wote ni sawa.

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo.

Abdul Nondo ametoa kauli hiyo leo Julai 5, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa endapo vikao vya chama chake vitampa ridhaa ya kupeperusha bendera ya kugombea Ubunge, basi atahakikisha anatekeleza na kuyaendeleza yale yote aliyoyaanzisha Mbunge mstaafu wa jimbo hilo Zitto Kabwe.

"Inawezekana mimi nikachaguliwa na Zitto akaachwa kwa sababu chama chetu kinaongozwa kwa mfumo wa demokrasia ya wazi, kwahiyo wajumbe wanaweza wakaamua kwa sababu chama chetu hakina Papa, kinasema wote ni sawa haijalishi wewe ni nani, Wajumbe wanaweza wakaamua kunichagua mimi, au wakaamua kumchagua Zitto halafu mimi wakaniambia nisubiri" amesema Nondo.

Leo Julai 5, 2020, Abdul Nondo ametangaza nia ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Kigoma Mjini, ambalo kabla ya Bunge kuvunjwa, lilikuwa likiongozwa na kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe.

Tazama Video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali