Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nitachaguliwa na Zitto ataachwa" -Abdul Nondo

Jumapili , 5th Jul , 2020

Mwenyekiti wa Ngome ya vijana wa ACT Wazalendo Abdul Nondo amesema kuwa hakuona haja ya yeye kumshirikisha Zitto Kabwe kama anataka kutia nia ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjini  kwa kuwa chama hicho kinazingatia demokrasia na kwamba hakina Papa bali wanachama wote ni sawa.

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo.

Abdul Nondo ametoa kauli hiyo leo Julai 5, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa endapo vikao vya chama chake vitampa ridhaa ya kupeperusha bendera ya kugombea Ubunge, basi atahakikisha anatekeleza na kuyaendeleza yale yote aliyoyaanzisha Mbunge mstaafu wa jimbo hilo Zitto Kabwe.

"Inawezekana mimi nikachaguliwa na Zitto akaachwa kwa sababu chama chetu kinaongozwa kwa mfumo wa demokrasia ya wazi, kwahiyo wajumbe wanaweza wakaamua kwa sababu chama chetu hakina Papa, kinasema wote ni sawa haijalishi wewe ni nani, Wajumbe wanaweza wakaamua kunichagua mimi, au wakaamua kumchagua Zitto halafu mimi wakaniambia nisubiri" amesema Nondo.

Leo Julai 5, 2020, Abdul Nondo ametangaza nia ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Kigoma Mjini, ambalo kabla ya Bunge kuvunjwa, lilikuwa likiongozwa na kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe.

Tazama Video hapa chini.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini