Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Njooni kwa wingi uwanja wa Uhuru'' - RC Dar

Jumamosi , 25th Jul , 2020

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge amewaomba wakazi wa mkoa wa Dar es salaam kujitokeza kwa wingi uwanja wa Uhuru kuanzia kesho Julai 26, 2020 katika kuaga mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge

Amesema hayo leo Julai 25, 2020 hii wakati akizungumza na waandishi wa habari waliofika uwanja wa taifa kuuangalia hatua zinazoendelea ambapo amesema wamejipanga vizuri katika kuhakikisha usalama kwa raia unakuwepo.

“Nataka kuwahakikishia wananchi wa mkoa wa  Dar es salaam hali ya usalama ni nzuri, na tumejipanga vizuri, vyombo vyetu vimekaa vizuri kwahiyo tusiwe na wasiwasi tujitokeze kwa wingi nakuaga kutakuwa kuanzia asubuhi hadi jioni”.

Aidha Mkuu wa mkoa huyo amewaomba wale ambao hawatapata nafasi yakuingia uwanjani siku ya kesho wawepo barabarani mara watakapopatiwa ratiba juu ya njia watayopitia ili waweze kumuaga kutokana na sehemu waliokuwepo.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa