Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyalandu sasa kuwania Ubunge

Jumatatu , 10th Aug , 2020

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu leo Agosti 10, 2020, amejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kumpata mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia chama hicho, ambapo mchakato wa kura za maoni unaendelea sasa hivi.

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter, Nyalandu amewashukuru wale wote wanaomuonesha upendo na kwamba matokeo ya uchaguzi huo yatashuhudiwa na Mgombea Urais wa chama hicho Tundu Lissu. 

"Nitashiriki kama mgombea katika kinyang'anyiro cha kumpata mgombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA Jimbo la Singida Kaskazini, Uchaguzi huo utafanyika leo, Jumatatu, Agosti 10, kijijini Ilongero, Asanteni sana kwa sala na dua zenu, na zaidi kwa upendo wenu wa daima kwangu", ameandika Nyalandu.

Aidha Nyalandu ameongeza kuwa, "Nimempokea Mh Tundu Lissu, jimboni Singida Kaskazini sasa hivi, Mh Lissu atashuhudia matokeo ya Ubunge Singida Kaskazini, mchuano baina yangu na David Jumbe kumpata Mgombea  wa Chama chetu 2020".

Awali Nyalandu aliomba ridhaa ya chama chake kimteue kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu ujao, ambapo chama hicho kilimpa ridhaa Tundu Lissu. 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi