Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ole Sabaya aeleza alivyoamuru Mbowe alindwe

Jumanne , 8th Oct , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kitendo alichokifanya cha kuwatuma askari Polisi kuingia kwenye Mkutano wa CHADEMA, kilikuwa sawa na alifanya hivyo lengo lake ni kumlinda Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Lengai Ole Sabaya ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam, wakati akizungumzia uamuzi wa kuagiza Askari wa Jeshi la Polisi kuingia kwenye kikao cha ndani cha CHADEMA, na kusema uamuzi wake ulikuwa sahihi.

"Niliwatuma Askari waingie mkutano wa ndani wa CHADEMA, na niliwaambia wakae ndani ya hicho kikao ila sikuwaambia wavunje mkutano, wao ni chombo cha dola, hata wakija hapa kwenye ofisi zenu sio tatizo."

"Namimi nadhani walipaswa kunipongeza, kwa sababu niliamuru Mwenyekiti wao Freeman Mbowe  alindwe, ila kwa sababu wao ndiyo wamekuwa na mashaka kila wakati ndiyo maana wanalalamika kila mara", ameongeza Ole Sabaya.

Hivi karibuni wilayani Hai, DC Ole Sabaya aliamuru askari polisi mkoani Hai kuingia ndani ya kikao cha ndani cha CHADEMA huku CHADEMA wenyewe wakilalamika kitendo hicho si sawa.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa