Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Olesendeka apangua maagizo ya Halmashauri

Jumatatu , 16th Sep , 2019

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole - Sendeka ametengua katazo la Halmashauri ya mji wa Njombe, lililopiga marufuku mabasi ya abiria, kushusha katikati ya mji kwa madai ya kwamba katazo hilo linawaumiza wananchi wa hali ya chini.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole - Sendeka

Uzinduzi wa Kituo kipya cha mabasi ulifanyika Mei 11, 2019, ambapo Halmashauri ya mji wa Njombe ilipiga marufuku mabasi ya abiria yaendayo mikoani na vijijini kushusha abiria katika vituo vilivyopo katikati ya mji jambo ambalo limesababisha kuibuka kwa malalamiko mengi kwa wananchi, kwasababu ya umbali wa kituo kipya cha mabasi.

Akitengua marufuku hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kituo cha zamani cha mabasi, Olsendeka amesema, maamuzi hayo ameyafanya baada ya kuona wananachi wanatumia fedha nyingi  kukodi tax na pikipiki maarufu kama bodaboda hali ambayo  imesababisha kujenga chuki kati ya serikali na wananchi.

Halmashauri hiyo ilianza kutumia kituo kipya cha mabasi kilichojengwa kwa ufahadhili wa benki ya dunia na uligharimu zaidi shilingi Bil. 9.

Katika hatua nyingine Ole sendeka amesema kuwa, ili kuwapunguzia changamoto ya usafiri atatengeneza kwa gharama zake kituo kidogo cha kushusha abiria jirani na hospitali ya mji wa Njombe Kibena ili magari ya abiria yawe na uwezo wa kushusha abiria, wanapoenda hospitalini hapo kupata matibabu.

Zaidi Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali