Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Paul Makonda awashangaa wanaozushia wenzao vifo

Jumatatu , 21st Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ameeleza kushangazwa na baadhi ya watanzania kuwa wafuasia wa baadhi ya watu ambao, wamekuwa wakisambaza taarifa zisizo na ukweli kwa nia ovu huku wengine wakieendelea kusifiwa.

Makonda ameonesha hali hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram wa Baba Keagan, ambapo amesema ni jambo la ajabu kuona watu wanaosambaza uongo, ndiyo watu ambao wanafuatiliwa sana kwenye mitandao.

"Nilitarajia kungekuwa na kampeni kabambe ya kulaani wazushi, waongo na waovu, ila cha ajabu ndiyo kwanza wanasifiwa, mbona tunaendelea kuwafuata kwenye mitandao? Mbona “hatuwaunfollow? tunataka kujifunza nini kutoka kwao?." ameandika Makonda.

"Tanzania tumeshaingia katika hii hatari hivi inawezekanaje mtu anazusha habari mbaya za mwingine hata kumtakia kifo je kikitokea anapata faida gani? inawezekanaje watu kuinuka na kutetea wanaoharibu maadili ya jamii yetu?Taifa tunaelekea wapi?" ameongeza Paul Makonda.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali