Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Paul Makonda awashangaa wanaozushia wenzao vifo

Jumatatu , 21st Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, ameeleza kushangazwa na baadhi ya watanzania kuwa wafuasia wa baadhi ya watu ambao, wamekuwa wakisambaza taarifa zisizo na ukweli kwa nia ovu huku wengine wakieendelea kusifiwa.

Makonda ameonesha hali hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram wa Baba Keagan, ambapo amesema ni jambo la ajabu kuona watu wanaosambaza uongo, ndiyo watu ambao wanafuatiliwa sana kwenye mitandao.

"Nilitarajia kungekuwa na kampeni kabambe ya kulaani wazushi, waongo na waovu, ila cha ajabu ndiyo kwanza wanasifiwa, mbona tunaendelea kuwafuata kwenye mitandao? Mbona “hatuwaunfollow? tunataka kujifunza nini kutoka kwao?." ameandika Makonda.

"Tanzania tumeshaingia katika hii hatari hivi inawezekanaje mtu anazusha habari mbaya za mwingine hata kumtakia kifo je kikitokea anapata faida gani? inawezekanaje watu kuinuka na kutetea wanaoharibu maadili ya jamii yetu?Taifa tunaelekea wapi?" ameongeza Paul Makonda.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini