Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi wataja sababu ya kumpatia dhamana Mwamposa

Jumanne , 4th Feb , 2020

Msemaji wa Jeshi la Polisi David Misime, amewataka Watanzania kuwa na subra kwani uchunguzi wa tukio la vifo vya watu 20, vilivyotokea Mjini Moshi, bado unaendelea, licha ya Mtume Mwamposa pamoja na wenzake saba kuachiwa kwa dhamana.

Msemaji wa Jeshi la Polisi ACP David Misime na Mtume Mwamposa

Katika taarifa yake leo Februari 4, 2020, ACP Misime, amesema kuwa, Mtume Mwamposa pamoja na wenzake wameachiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria na kwamba uchunguzi utakapokamilika Watanzania watajulishwa.

"Katika uchunguzi huo walikamatwa watu Nane akiwepo Mwamposa na kuhojiwa kwa kina na baada ya kujiridhisha na yale yaliyokuwa yanahitajika kutoka kwao, wamepewa dhamana kwa mujibu wa sheria ili waendelee kuripoti wakati uchunguzi ukiendelea na ukikamilika yatakayobainika yatatolewa kwa mamlaka husika na kutekelezwa" amesema ACP Misime.

Miili ya watu 20 walioaga dunia baada ya kukanyagana, wakati wakigombea kukanyaga mafuta ya upako siku ya Februari 1, katika kongamano la Mtume Mwamposa, iliagwa jana Februari 3, 2020, katika viwanja vya Mashujaa Mjini Moshi. 
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya