Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi yarejesha mafuta yaliyoibiwa kwa mkandarasi

Jumanne , 28th Mar , 2023

Jeshi la  Polisi Mkoa wa Ruvuma limekabidhi jumla ya lita 630 kwa uongozi wa kampuni ya  CHINA RAILWAY GROUP  inayojihusisha na mradi wa ujenzi wa barabara  ya kiwango cha lami ya Amanimakolo - Ruanda ambayo  yalikamatwa yakiwa yanasafirishwa.

Baada ya kuibiwa yalisafirishwa kutoka katika mradi huo kwa nia  ya kwenda kuyauzwa. 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma  ACP- Marco  G. Chilya   amesema kuwa  mafuta  hayo yalikamatwa, ambapo watuhumiwa walipelekwa mahakamani ambapo baada ya kesi hiyo kumalizika kwa mtuhumiwa kupata adhabu ya kifungo, mahakama  iliamuru mafuta hayo yarudishwe kwenye uongozi wa unaosimamia mradi ili waweze kuyatumia katika ujenzi huo unaoendelea katika kijiji hicho cha Amanimakolo.

 

Pamoja na hilo Kamanda Chilya ameendelea kutoa onyo kali kwa wale wote  wanaoendelea kujihusisha na uhalifu wa wa kuhujumu mradi huo waache mara moja kwani Jeshi la Polisi Mkoa Ruvuma litahakikisha linawasaka, kuwakamata pamoja na kuwafikisha mahakamani  kama ilivyokuwa kwa wahalifu wengine. 

 

Jeshi hilo limewahakikishia Raia hao wa kigeni kuwa linaendelea kufanya Misako, doria na Operesheni mbalimbali kuhakikisha maeneo yote ya Mkoa yanakuwa salama ikiwa pamoja na eneo lao la Ujenzi wa barabara.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali