Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polisi watoa neno ajali iliyouwa wanne 

Jumamosi , 27th Feb , 2021

Watu wanne wamefariki dunia, akiwamo Afisa Ugavi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (RUWASA) mkoa wa Simiyu, Castory Mamboleo (35), kufuatia ajali iliyohusisha magari mawili wilayani Bariadi, mkoani humo.

Magari yaliyopata ajali na kuuwa watu wanne

Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu, ACP Richard Abwao, amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo na kusema kuwa ajali hiyo imetokea Februari 26, 2021, saa 1:30 jioni katika eneo la Dutwa wilayani Bariadi, ambapo mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado kinachunguzwa.

Kamanda Abwao amewataja watu wengine waliopoteza maisha katika ajali hiyo ya barabarani kuwa ni Penina Naveta (38) ambaye ni Afisa Utumishi wa RUWASA mkoa wa Simiyu, Raphael Kichele (30) mfanyabiashara na Ntobi Mpalala ambaye ni mtoto mwenye umri wa miaka7, mwanafunzi na mkazi wa Dutwa.

Magari yaliyogongana na kusababisha vifo vya watu hao ni  T 851 DKF Toyota Mark X na T 350 DUH, TATA BUS mali ya kampuni ya Ngalabushi, iliyokuwa ikiendeshwa na Paulin Abel (31) mkazi wa Lamadi, na kusema kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Lamadi kuelekea Bariadi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali